Ndege za kijeshi za Kenya zimeshambulia ngome za kundi la al
Shabab ndani ya ardhi ya Somalia. Shambulizi hilo limetajwa kuwa
linahusiana na hujuma ya kigaidi iliyofanywa na al Shabab mjini Nairobi
zaidi ya mwezi mmoja uliopita na kuua watu karibu 70.
Thursday, 31 October 2013
Tusikubali kuivunja Jumuia ya Afrika Mashariki
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa sasa inapitia katika
kipindi kigumu baada ya nchi za Rwanda, Uganda na Kenya kuanzisha
ushirikiano wa peke yao huku zikizitenga Tanzania na Burundi.
Mabadiliko makubwa mitihani ya sekondari
Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku tatu kwa
wanafunzi wa kidato cha nne kuanza mtihani wa kumaliza ngazi hiyo ya
elimu, Serikali imepunguza alama za ufaulu kwa mtihani huo pamoja na ule
wa Kidato cha Sita.
Subscribe to:
Posts (Atom)