Wednesday, 2 April 2014

cherekochereko kwa watanzania walioathirika na ugaidi katika balozi za us.















Watanzania wanne waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na wengine watano waliofariki dunia katika mlipuko huo watalipwa fidia ya Sh672 bilioni,

Panza azikosoa nchi za Ulaya kwa kutotekeleza ahadi

















Rais wa serikali ya mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati amezikosoa nchi za Ulaya kwa kushindwa kutimiza ahadi zao kwa nchi yake

2 wakamatwa na maguruneti Kenya














Watu wawili wamekamatwa baada ya kupatikana wakiwa na maguruneti mawili nyumbani mwao wakati polisi wakiendelea na msako mkali mtaani Easteligh nchini Kenya.