take a look of some photo's of journalists together with facilitators during workshop training...
but all in all it is a better moment for Tanzania to work hard for achievements and fight against negative attitudes on family planing(F.P)
Imani Hezron in a photo with the PRB co-ordinatot Benedict Sichwale during journalists family planing workshop in mwanza.
journalists in a discussion during Family Planning workshop in mwanza which held at Middland Hotel.
picture 1.Halima Sharif during proceeding when presenting topic... picture 2.Uduak Duke in a yellow colour top during presentation in the workshop.
Showing posts with label afrika mashariki. Show all posts
Showing posts with label afrika mashariki. Show all posts
Thursday, 14 August 2014
Wednesday, 2 April 2014
cherekochereko kwa watanzania walioathirika na ugaidi katika balozi za us.
Watanzania wanne waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na wengine watano waliofariki dunia katika mlipuko huo watalipwa fidia ya Sh672 bilioni,
2 wakamatwa na maguruneti Kenya
Watu wawili wamekamatwa baada ya kupatikana wakiwa na
maguruneti mawili nyumbani mwao wakati polisi wakiendelea na msako
mkali mtaani Easteligh nchini Kenya.
Monday, 10 February 2014
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
Mwanamume raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka
ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya
Uhuru Kenyatta, William Ruto want probe into former ICC prosecutor Ocampo's claims
Kenya: The Jubilee administration will press Parliament to investigate remarks by former ICC prosecutor Luis Moreno-Ocampo that foreign envoys had wanted him to prevent Mr Uhuru Kenyatta and Mr William Ruto from
Wednesday, 5 February 2014
MAENDELEO NI UELEEWA WA JAMBO?
swala la TFD's ni swala la uelewa kwani inaonekana tangu serikali kupitia bunge lilipopitisha kumekuwepo na giza tototro juu ya matumizi ya
JE MAHAKAMA TANZANIA ITAFIKIA HATUA YA KUTOA HAKI YA KWELI?
Jaji mfawidhi kanda ya mwanza Bi.Aishaeli Sumari.akitoa hotuba katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini.
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
Thursday, 2 January 2014
Waziri wa Fedha afariki dunia
Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Iringa, William Mgimwa amefariki dunia jana katika Hospitali ya Kloof Medi-Clinic, Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa.Habari zilizopatikana jana kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kupitia kwa Msemaji wake, Habib Awesi zilisema Waziri Mgimwa amefariki dunia mchana...
Tuesday, 31 December 2013
Uhuru Kenyatta and William Ruto’s journey to victory long and tumultuous Read more at:
On March 9, 2013, the
Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission ( IEBC)
Issack Hassan declared Uhuru Muigai Kenyatta as the fourth President of
Kenya.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
Uhuru had garnered
6,173,433 votes out of 12,330,028 total votes cast in the March 4
General Election against his closest rival Raila Odinga who managed
5,340,546 votes.
Uhuru who had flown the Jubilee flag had managed to secure 50.07 per
cent of the vote – a requisite for one to be declared winner of an
election.
The announcement brought jubilation to Uhuru supporters as well as those
of William Samoei Ruto, his running mate, even as it brought sorrow and
disappointment to Raila and Kalonzo Musyoka supporters.
Raila and Kalonzo who were flying the Cord flag disputed the results and
moved to the Supreme Court to contest the results. However, the
six-judge bench of Supreme Court unanimously confirmed UhuRuto win,
setting the stage for their inauguration on April 9.
However, the story of both Uhuru and Ruto’s journey to victory had been
long and tumultuous.
Not that Uhuru and Ruto were strange bedfellows but they had faced
similar obstacles that could have blocked them from ascending to power.
In December 2010, Uhuru and Ruto, alongside former Minster Henry Kosgey,
former Head of Civil Service Francis Muthaura, former Police
Commissioner Hussein Ali and radio journalist Joshua arap Sang were
named by ICC prosecutor as bearing the greatest responsibility for the
2007/8 post-election violence in which over 1,500 Kenyans were killed.
But in what appears to be a blessing in disguise, the common predicament
facing the duo (Uhuru and Ruto) became a glue that cemented their
political alliance.
The two, who hitherto were political enemies, devised a plot to use ICC
cases to lobby support amongst their communities by alleging that The
Hague-based court was being used by rivals who were kin to eliminate
them from the Kibaki succession.
The message seemed to have sunk well, with Central and Rift Valley
becoming strongholds of the two leaders. Buoyed by the unprecedented
support, Uhuru and Ruto began nationwide prayer rallies, which were
largely used to bash the ICC and its local ‘ally’ and antagonist Raila
Odinga.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
On March 9, 2013, the
Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission ( IEBC)
Issack Hassan declared Uhuru Muigai Kenyatta as the fourth President of
Kenya.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
On March 9, 2013, the
Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission ( IEBC)
Issack Hassan declared Uhuru Muigai Kenyatta as the fourth President of
Kenya.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
KCPE results released
The results for the 2013 Kenya Certificate of Primary Education
examinations were released at the headquarters of the Kenya National
Examination Council in Nairobi on Tuesday morning by Education Cabinet
Secretary Jacob Kaimenyi.
Wataka kamati iwataje wabunge wanaohusika na ujangili
Wananchi mbalimbali wakiwamo wasomi na wabunge, wamelitaka Bunge kuweka wazi majina ya wabunge waliotajwa kuhusika na vitendo vya ujangili wa wanyamapori.
Wakati akiwasilisha taarifa ya Kamati ndogo ya
Uchunguzi ya Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu Operesheni
Tokomeza Ujangili, Mwenyekiti wake, James Lembeli alisema
JK ateua IGP mpya
Rais Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi, Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
Taarifa iliyotolewa jana usiku na Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ilisema kuwa Kamishna Mangu anachukua
nafasi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini aliyestaafu, Saidi Mwema.
Serikali ya Tanganyika yaibuliwa katika Rasimu ya pili
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imetoa Rasimu ya Pili ya Katiba ikiwa na mambo sita mpya, huku ikiendelea kupendekeza Muungano wa Serikali tatu na kurejea kwa nchi ya Tanganyika.
Rasimu hiyo ya Pili ambayo imetolewa miezi saba
baada ya Rasimu ya Kwanza, ilikabidhiwa jana kwa Rais Jakaya Kikwete na
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na Mwenyekiti wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba
Thursday, 26 December 2013
Kakobe ataja chanzo cha mawaziri kutokufanya kazi ipasavyo na kuwa mzigo.
Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Full
Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe amesema mawaziri mizigo ni
matunda ya uteuzi mbovu unaofanywa na mamlaka husika ambao hauzingatii
vipawa vya uongozi.
Wednesday, 25 December 2013
Rais Kikwete awasili leo na.............
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete anatua
nchini leo akiwa na lake moyoni kuhusu hatima ya baraza lake la
mawaziri, baada ya kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne, wiki mbili
zilizopita.
Rais Kikwete alikwenda Marekani, Desemba 18, mwaka
huu kufanyiwa uchunguzi wa afya yake na akiwa huko, upepo wa kisiasa
ulibadilika na kumlazimisha kuchukua hatua hiyo ambayo inampa wajibu wa
kupanga upya safu yake ya uongozi.
Tuesday, 3 December 2013
Marais wa nchi wanacham wa EAC wasaini mkataba wa kuanza mchakato wa kuwa na sarafu moja
Wakuu wa
nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC, wamesaini mkataba wa
kuanza mchakato wa kuwa na sarafu moja itakayotumika katika nchi zote
wanchama wa jumuiya hiyo.
BAJETI YA KUWAHUDUMIA ALBINO. Halmashauri Zaagizwa
Katika siku ya walemavu duniani UM unataka nchi ziwasaidie zaidi walemavu
Katika kuadimisha siku ya kimataifa ya walemavu kauli mbiu ya mwaka huu ni kutimiza ahadi, na kuwashirikisha walemavu katika malengo ya maendeleo ya milenia.
Homa ya Ripoti ya CAG yatinga bungeni
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaanza mkutano wake wa 14 mjini Dodoma leo, huku kukiwa na homa ya matokeo ya mjadala wa Taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2011/12.
Subscribe to:
Posts (Atom)