Monday, 10 November 2014

UTANDAWAZI WAZUNGUMZWA KAMA NGUZO KUU YA MAENDELEO.



Wanafunzi wamedhiirisha uwezo wao wa kujadili masuala mbalimbali ya kimaadili ikiwemo kupanga namna ya kuweza kupambana na changamoto za kimaadili katika
 jamii pamoja na kustawisha maadili katika taifa

Haya yote yamesemwa na wanafunzi katika mdaalo wa wiki  moja uliondaliwa na secretariat ya maadili ya utumishi wa umma inayowakutanisha wanafunzi wa shule mbalimbali jijini mwanza kama mkakati wa kuimarisha madili katika jamii

Ni kweli utandawzi unaleta mmomonyoko katika jamii au kinyume chake nawewe waweza jadili.

 

No comments:

Post a Comment