Habari za hivi punde zinasema kuwa Mamia ya polisi
wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za
serikali kuanzia mwezi desemba kwa niya ya kuwangoa.
Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe imefuta sheria ya adhabu dhidi ya wanaomdhalilisha Rais wa nchi hiyo.
Awali sheria ya Zimbabwe ilikuwa ikiwazuia raia kukosoa na kuchunguza
utendaji wa Rais Robert Mugabe au kumvunjia heshima,
















