Showing posts with label kimkoa. Show all posts
Showing posts with label kimkoa. Show all posts

Tuesday, 11 February 2014

kwa hali hii kuondokana na ajali za barabarani hatuponi.

hii ni moja ya picha zinazoonyesha namna gari iiyopata ajali katika barabara kuu ya jiji la mwanza.

swala la usalama inaanza na sisi wenyewe kwani usalama wa mtu ni lazima uwe katika hatma ya wapi,nini na wapi .

Tuesday, 3 December 2013

Lissu: Mabadiliko makubwa yanakuja upinzani bungeni












Kambi ya Rasmi ya Upinzani Bungeni, itafanya mabadiliko makubwa katika Baraza lake Kivuli wakati wa Mkutano Mkuu wa 14 wa Bunge unaoanza leo mjini Dodoma.

Wednesday, 13 November 2013

Wednesday, 6 November 2013

MVUA KUBWA YAZOROTESHA USAFIRI JIJINI MWANZA.Tarehe 06/11/2013

















moja ya picha zinazoonyesha madhara ya mvua katika eneo la mabatini.


















Leo jijini mwanza mvua kubwa imevuruga sekta ya usafirishaji ambapo watu wengi wameshindwa kufika katika maeneo yao ya kazi kwa wakati