moja ya picha zinazoonyesha madhara ya mvua katika eneo la mabatini.
Leo jijini
mwanza mvua kubwa imevuruga sekta ya usafirishaji ambapo watu wengi wameshindwa
kufika katika maeneo yao ya kazi kwa wakati
Mvua hiyo
iliyoanza kunyesha usiku wa kuamkia leo imesababisha maafa makubwa ambapo
daraja la mabatini haikupitika kwa uraisi ambapo magari yalilazimika kupita
njia ya nyasaka ,pansiasi ndipo kuingia mjini..
No comments:
Post a Comment