hezronnews

Pages

  • Home
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo

Saturday, 15 March 2014

KUOKOA HUANZIA MOYONI,TOA DAMU UMUOKOE MMOJA WA WAGONJWA.




Tendo la utoaji damu ni tendo la hiari na pia ni huruma ya mtoaji wa damu, kama mtu anafahamu uchungu wa kupotelewa na ndugu katika mazingira ambayo anaamini kama ingepatikana kitu Fulani angeokolewa inauma sana.

Taifa la Tanzania ni taifa ambalo watu wengi wan je wanaamini kuwa watu wake ni wenye huruma sana na pia wanabusara kiasi kwamba hawawezi kuvumilia kuona ndugu zao wanapote lakini mbona jambo hili au dhana hii inatoweka hasa pale ambapo suala la uchangiaji damu inapoletwa miongoni mwetu ikituhitaji tufanye hivyo tunakwepa?
Changia damu kama tendo la huruma kwa ndugu zako usiowafahamu na kuamini kuwa damu hiyo itatumika siku moja kwa mwanao pindi utokapo toweka .
Mzee huyu ni moja ya watanzania wenye huruma ambao kila mwezi hujitolea kutoa damu akiamini anamuokoa mwanae au ndugu yake ambaye asiongependa apotee wakati nafasi ya msaada upo wazi kwake.
Ungana na  mamia ya watanzania kuchangia damu kwa hiari ili kuokoa maisha ya mamia ya watanzania inayopotea wakati kuna uwezekano wa kuwaokoa.
Posted by Unknown at 07:12
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: kijamii, kitaifa

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • FAHAMU UGWIJI WA MWENDESHA MASHTAKA WA ICC(Fatou Bensouda)KABLA NA BAADA YA KWENDA ICC.
    On 12 December 2011, Mrs. Fatou Bensouda of The Gambia was elected by consensus Prosecutor of the International Criminal Co...
  • Sumaye amsema Lowassa hadharani
    Dar es Salaam. Vita ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 imeingia katika sura mpya baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederi...
  • Shinawatra apona kung'olewa madarakani.
    Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, amepona kung'olewa madarakani baada ya kushinda kura ya kutokuwa na imani ...
  • ICC yamtaka Kenyatta kuwepo mahakamani.
    Mahakama ya Kimataifa ya kushughulikia kesi za uhalifu wa kivita, ICC imetengua uamuzi wake wa awali uliomruhusu Rais wa K...

My Blog List

  • Shaddy Classic
  • Swahili Zone

Blog Archive

  • ▼  2014 (19)
    • ►  November (1)
    • ►  August (1)
    • ►  April (3)
    • ▼  March (2)
      • UCHANGIAJI DAMU NI HIARI SI LAZIMA.
      • KUOKOA HUANZIA MOYONI,TOA DAMU UMUOKOE MMOJA WA WA...
    • ►  February (11)
    • ►  January (1)
  • ►  2013 (45)
    • ►  December (14)
    • ►  November (27)
    • ►  October (4)

About Me

Unknown
View my complete profile

CITY FM MUUNGANO DAY

CITY FM MUUNGANO DAY
Picture Window theme. Theme images by johnwoodcock. Powered by Blogger.