Thursday, 2 January 2014

Waziri wa Fedha afariki dunia












Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Iringa, William Mgimwa amefariki dunia jana katika Hospitali ya Kloof Medi-Clinic, Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa.Habari zilizopatikana jana kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kupitia kwa Msemaji wake, Habib Awesi zilisema Waziri Mgimwa amefariki dunia mchana...

Tuesday, 31 December 2013

Uhuru Kenyatta and William Ruto’s journey to victory long and tumultuous Read more at:













On March 9, 2013, the Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission ( IEBC) Issack Hassan declared Uhuru Muigai Kenyatta as the fourth President of Kenya.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
Uhuru had garnered 6,173,433 votes out of 12,330,028 total votes cast in the March 4 General Election against his closest rival Raila Odinga who managed 5,340,546 votes. Uhuru who had flown the Jubilee flag had managed to secure 50.07 per cent of the vote – a requisite for one to be declared winner of an election. The announcement brought jubilation to Uhuru supporters as well as those of William Samoei Ruto, his running mate, even as it brought sorrow and disappointment to Raila and Kalonzo Musyoka supporters. Raila and Kalonzo who were flying the Cord flag disputed the results and moved to the Supreme Court to contest the results. However, the six-judge bench of Supreme Court unanimously confirmed UhuRuto win, setting the stage for their inauguration on April 9. However, the story of both Uhuru and Ruto’s journey to victory had been long and tumultuous. Not that Uhuru and Ruto were strange bedfellows but they had faced similar obstacles that could have blocked them from ascending to power. In December 2010, Uhuru and Ruto, alongside former Minster Henry Kosgey, former Head of Civil Service Francis Muthaura, former Police Commissioner Hussein Ali and radio journalist Joshua arap Sang were named by ICC prosecutor as bearing the greatest responsibility for the 2007/8 post-election violence in which over 1,500 Kenyans were killed. But in what appears to be a blessing in disguise, the common predicament facing the duo (Uhuru and Ruto) became a glue that cemented their political alliance. The two, who hitherto were political enemies, devised a plot to use ICC cases to lobby support amongst their communities by alleging that The Hague-based court was being used by rivals who were kin to eliminate them from the Kibaki succession. The message seemed to have sunk well, with Central and Rift Valley becoming strongholds of the two leaders. Buoyed by the unprecedented support, Uhuru and Ruto began nationwide prayer rallies, which were largely used to bash the ICC and its local ‘ally’ and antagonist Raila Odinga.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
On March 9, 2013, the Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission ( IEBC) Issack Hassan declared Uhuru Muigai Kenyatta as the fourth President of Kenya.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous
On March 9, 2013, the Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission ( IEBC) Issack Hassan declared Uhuru Muigai Kenyatta as the fourth President of Kenya.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000101126&story_title=uhuru-and-ruto-s-journey-to-victory-long-and-tumultuous

KCPE results released
















The results for the 2013 Kenya Certificate of Primary Education examinations were released at the headquarters of the Kenya National Examination Council in Nairobi on Tuesday morning by Education Cabinet Secretary Jacob Kaimenyi.

Wataka kamati iwataje wabunge wanaohusika na ujangili












Wananchi mbalimbali wakiwamo wasomi na wabunge, wamelitaka Bunge kuweka wazi majina ya wabunge waliotajwa kuhusika na vitendo vya ujangili wa wanyamapori.
Wakati akiwasilisha taarifa ya Kamati ndogo ya Uchunguzi ya Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili, Mwenyekiti wake, James Lembeli alisema

JK ateua IGP mpya












Rais Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi, Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
Taarifa iliyotolewa jana usiku na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ilisema kuwa Kamishna Mangu anachukua nafasi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini aliyestaafu, Saidi Mwema.

Serikali ya Tanganyika yaibuliwa katika Rasimu ya pili












Tume ya Mabadiliko ya Katiba imetoa Rasimu ya Pili ya Katiba ikiwa na mambo sita mpya, huku ikiendelea kupendekeza Muungano wa Serikali tatu na kurejea kwa nchi ya Tanganyika.
Rasimu hiyo ya Pili ambayo imetolewa miezi saba baada ya Rasimu ya Kwanza, ilikabidhiwa jana kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba

Thursday, 26 December 2013

Kakobe ataja chanzo cha mawaziri kutokufanya kazi ipasavyo na kuwa mzigo.












Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe amesema mawaziri mizigo ni matunda ya uteuzi mbovu unaofanywa na mamlaka husika ambao hauzingatii vipawa vya uongozi.