Friday, 29 November 2013

Njia mpya ya Reli Afrika Mashariki













Kenya imezindua rasmi ujenzi wa njia ya Reli itakayounganisha kanda ya Afrika Mashariki na eneo la maziwa makuu ujenzi utakaofadhiliwa na serikali ya China.Reli hiyo itaunganisha Kenya na Sudan Kusini, DR Congo na Burundi.

Waandamanaji Thailand wavamia jeshi














Mamia ya waandamanaji nchini Thailand waliingia kwa nguvu katika makao makuu ya jeshi mjini Bangkok, ikiwa ni siku ya sita tangu kuanza kwa maandamano dhidi ya serikali.
Msemaji wa jeshi amesema waandamanaji walivunja kufuli la mlango mkuu na kuingia katika eneo la makao makuu hayo ya jeshi. Baadaye waliondoka.

Tume ya Katiba yaongezewa muda kwa ajili ya mchakato












Rais Jakaya Kikwete ameiongezea tena muda Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuiwezesha kumaliza kazi yake.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu juzi usiku, ilisema Rais Kikwete ameiongezea siku 14.

Baregu asema kuhusu Zitto






















Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Profesa Mwesiga Baregu amewataka viongozi wa chama hicho kutafakari na kudhibiti madhara yanayoweza kukikumba hasa baada ya hatua yake ya hivi karibuni ya kumvua nyadhifa zote, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wenzake wawili.

Thursday, 28 November 2013

FAHAMU UGWIJI WA MWENDESHA MASHTAKA WA ICC(Fatou Bensouda)KABLA NA BAADA YA KWENDA ICC.














On 12 December 2011, Mrs. Fatou Bensouda of The Gambia was elected by consensus Prosecutor of the International Criminal Court by the Assembly of States Parties. Mrs. Bensouda was sworn in on 15 June 2012.

Shinawatra apona kung'olewa madarakani.














Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, amepona kung'olewa madarakani baada ya kushinda kura ya kutokuwa na imani naye.

Tuhuma zang’oa maofisa Maliasili












Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amesema wizara yake imewasimamisha kazi baadhi ya maofisa kutokana na kujihusisha na biashara haramu ya ujangili wa meno ya tembo.