Monday, 10 February 2014
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
Mwanamume raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka
ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya
Bosco Ntaganda kizimbani ICC
Kiongozi wa zamani wa waasi katika Jamhuri ya
kidemokrasia ya Bosco Ntagandaa amefikishwa katika mahakama ya
kimataifa ya makosa ya jinai ICC huko The Hague
Uhuru Kenyatta, William Ruto want probe into former ICC prosecutor Ocampo's claims
Kenya: The Jubilee administration will press Parliament to investigate remarks by former ICC prosecutor Luis Moreno-Ocampo that foreign envoys had wanted him to prevent Mr Uhuru Kenyatta and Mr William Ruto from
Wednesday, 5 February 2014
MAENDELEO NI UELEEWA WA JAMBO?
swala la TFD's ni swala la uelewa kwani inaonekana tangu serikali kupitia bunge lilipopitisha kumekuwepo na giza tototro juu ya matumizi ya
JE MAHAKAMA TANZANIA ITAFIKIA HATUA YA KUTOA HAKI YA KWELI?
Jaji mfawidhi kanda ya mwanza Bi.Aishaeli Sumari.akitoa hotuba katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini.
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
Thursday, 2 January 2014
Waziri wa Fedha afariki dunia
Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Iringa, William Mgimwa amefariki dunia jana katika Hospitali ya Kloof Medi-Clinic, Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa.Habari zilizopatikana jana kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kupitia kwa Msemaji wake, Habib Awesi zilisema Waziri Mgimwa amefariki dunia mchana...
Subscribe to:
Posts (Atom)