Tuesday, 18 February 2014

mtazame mtangazaji huyu anayefanya vizuri japo historia yake...........

Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok















Habari za hivi punde zinasema kuwa Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kuanzia mwezi desemba kwa niya ya kuwangoa.

Wachimba migodi wahofia kukamatwa














Kundi la wachimbaji migodi haramu waliookolewa kutoka mgodi uliotelekezwa nchini Afrika Kusini na maafisa wa uokoaji wanatarajiwa kufika kizimbani hivi leo.

Tuesday, 11 February 2014

vijana vyuoni mwanza wavunja ukimya















bango la vijana wa vyuo mwanza ya kuonyesha mahaba yao kwa mh.waziri kuu mstaafu Edward N.Lowasa


























Mh.waziri mkuu mstaafu Fredrik Sumaye. Akizungumza na waandishi wa habarai mara baada ya kongamano na wanavyuo














kwa hali hii kuondokana na ajali za barabarani hatuponi.

hii ni moja ya picha zinazoonyesha namna gari iiyopata ajali katika barabara kuu ya jiji la mwanza.

swala la usalama inaanza na sisi wenyewe kwani usalama wa mtu ni lazima uwe katika hatma ya wapi,nini na wapi .