Tuesday, 18 February 2014
Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok
Habari za hivi punde zinasema kuwa Mamia ya polisi
wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za
serikali kuanzia mwezi desemba kwa niya ya kuwangoa.
Wachimba migodi wahofia kukamatwa
Kundi la wachimbaji migodi haramu waliookolewa kutoka
mgodi uliotelekezwa nchini Afrika Kusini na maafisa wa uokoaji
wanatarajiwa kufika kizimbani hivi leo.
Tuesday, 11 February 2014
vijana vyuoni mwanza wavunja ukimya
bango la vijana wa vyuo mwanza ya kuonyesha mahaba yao kwa mh.waziri kuu mstaafu Edward N.Lowasa
Mh.waziri mkuu mstaafu Fredrik Sumaye. Akizungumza na waandishi wa habarai mara baada ya kongamano na wanavyuo
kwa hali hii kuondokana na ajali za barabarani hatuponi.
hii ni moja ya picha zinazoonyesha namna gari iiyopata ajali katika barabara kuu ya jiji la mwanza.
swala la usalama inaanza na sisi wenyewe kwani usalama wa mtu ni lazima uwe katika hatma ya wapi,nini na wapi .
Monday, 10 February 2014
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
Mwanamume raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka
ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya
Bosco Ntaganda kizimbani ICC
Kiongozi wa zamani wa waasi katika Jamhuri ya
kidemokrasia ya Bosco Ntagandaa amefikishwa katika mahakama ya
kimataifa ya makosa ya jinai ICC huko The Hague
Uhuru Kenyatta, William Ruto want probe into former ICC prosecutor Ocampo's claims
Kenya: The Jubilee administration will press Parliament to investigate remarks by former ICC prosecutor Luis Moreno-Ocampo that foreign envoys had wanted him to prevent Mr Uhuru Kenyatta and Mr William Ruto from
Wednesday, 5 February 2014
MAENDELEO NI UELEEWA WA JAMBO?
swala la TFD's ni swala la uelewa kwani inaonekana tangu serikali kupitia bunge lilipopitisha kumekuwepo na giza tototro juu ya matumizi ya
JE MAHAKAMA TANZANIA ITAFIKIA HATUA YA KUTOA HAKI YA KWELI?
Jaji mfawidhi kanda ya mwanza Bi.Aishaeli Sumari.akitoa hotuba katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini.
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
Subscribe to:
Posts (Atom)