Tuesday, 18 February 2014

mtazame mtangazaji huyu anayefanya vizuri japo historia yake...........

Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok















Habari za hivi punde zinasema kuwa Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kuanzia mwezi desemba kwa niya ya kuwangoa.

Wachimba migodi wahofia kukamatwa














Kundi la wachimbaji migodi haramu waliookolewa kutoka mgodi uliotelekezwa nchini Afrika Kusini na maafisa wa uokoaji wanatarajiwa kufika kizimbani hivi leo.

Tuesday, 11 February 2014

vijana vyuoni mwanza wavunja ukimya















bango la vijana wa vyuo mwanza ya kuonyesha mahaba yao kwa mh.waziri kuu mstaafu Edward N.Lowasa


























Mh.waziri mkuu mstaafu Fredrik Sumaye. Akizungumza na waandishi wa habarai mara baada ya kongamano na wanavyuo














kwa hali hii kuondokana na ajali za barabarani hatuponi.

hii ni moja ya picha zinazoonyesha namna gari iiyopata ajali katika barabara kuu ya jiji la mwanza.

swala la usalama inaanza na sisi wenyewe kwani usalama wa mtu ni lazima uwe katika hatma ya wapi,nini na wapi .

Monday, 10 February 2014

angalia video ya hotuba ya jk iliokamata vichwa vya wengi.

       

''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya














Mwanamume raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya

Bosco Ntaganda kizimbani ICC














Kiongozi wa zamani wa waasi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Bosco Ntagandaa amefikishwa katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai ICC huko The Hague

Uhuru Kenyatta, William Ruto want probe into former ICC prosecutor Ocampo's claims













Kenya: The Jubilee administration will press Parliament to investigate remarks by former ICC prosecutor Luis Moreno-Ocampo that foreign envoys had wanted him to prevent Mr Uhuru Kenyatta and Mr William Ruto from

Wednesday, 5 February 2014

MAENDELEO NI UELEEWA WA JAMBO?














swala la TFD's ni swala la uelewa kwani inaonekana tangu serikali kupitia bunge lilipopitisha kumekuwepo na giza tototro juu ya matumizi ya

JE MAHAKAMA TANZANIA ITAFIKIA HATUA YA KUTOA HAKI YA KWELI?

Jaji mfawidhi kanda ya mwanza Bi.Aishaeli Sumari.akitoa hotuba katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini.










imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na