Wednesday, 6 November 2013

MVUA KUBWA YAZOROTESHA USAFIRI JIJINI MWANZA.Tarehe 06/11/2013

















moja ya picha zinazoonyesha madhara ya mvua katika eneo la mabatini.


















Leo jijini mwanza mvua kubwa imevuruga sekta ya usafirishaji ambapo watu wengi wameshindwa kufika katika maeneo yao ya kazi kwa wakati

Tanzania absent at launch of region’s single visa

NAIROBI, KENYA: Tanzania was not represented in a single visa deal that was jointly announced on Tuesday during the ongoing World Tourism Market meeting in United Kingdom
.Rwanda, Kenya, and Uganda were repesented during the
deal which is set to come in force by January next year. Through the single travel document, member country states will adopt a joint Visa to facilitate free movement of tourist and citizens alike.
“Other EAC members will join us along the way since we have not locked any one out, said Kenya’s Cabinet Secretary for East African Affairs, Commerce and Tourism Mrs. Phylis Kandie while responding to the press questions on the absence of Tanzania in the deal.
Tanzania is a competing country in Tourism and other economic pillars in the region. The country’s absence in key EAC meetings bringing together heads of states continues to raise eyebrows as per the regional intergration.
Tanzania’s minister for EAC Affairs, Samuel Sitta, recently told a charged Parliament in Dodoma that Dar es Salaam would not wait for a “divorce certificate” from Kenya, Rwanda and Uganda, but would “shoot before we are shot”.

The minister spoke on the same day Presidents Uhuru, Kagame, Museveni and Kiir signed a host of protocols and agreements in Kigali, including free movement of goods and persons, infrastructural development and transformation into a Single Customs Union.
The pacts were signed on the sidelines of the three-day “Transform Africa Summit” to which Tanzania and Burundi, both EAC member states were not invited.
Speaking after announcing the launch of the joint visa, Kenya’s Cabinet Secretary for East African Affairs, Commerce and Tourism Mrs. Phylis Kandie, Uganda’s Tourism and Wildlife Minister Ms Agnes Egunyo and Rwanda’s High Commissioner to UK Ambassador William Nkurunziza said deal was a major boost to tourism.
“We have been in discussion over this matter for the last six months and we are proud  to announce that we finally have a joint visa that has made the three countries borderless. This is an opportunity for us to increase tourist numbers as we will jointly offer diversified tourism products,” Says Kandie.
Tourism products from the three countries, pointed Kandie  are varied and with different tastes and noted that the single joint visa will now enrich diversity at the same time increasing the value of the product.
Rwanda High commissioner noted that the single joint visa was cost effective and will boost the strategy of repositioning tourism products in the region.

Sumaye amsema Lowassa hadharani

Dar es Salaam.Vita ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 imeingia katika sura mpya baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kumlalamikia mrithi wake katika wadhifa huo, Edward Lowassa akimtuhumu kumfanyia mbinu chafu

JK kulihutubia Bunge kesho

Dodoma na Dar.Rais Jakaya Kikwete, kesho anatarajiwa kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Habari zilizopatikana Mjini Dodoma jana na kuthibitishwa na uongozi wa Bunge pamoja na Ikulu, Dar es Salaam zinasema atahutubia mchana

Friday, 1 November 2013

ZIMBABWE YAFUTA SHERIA KALI KWA WAKOSOAJI WA RAIS MUGABE

http://kiswahili.irib.ir/media/k2/items/cache/ea5f2786e7ba81c649efca9b3c61aadf_XL.jpg
Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe imefuta sheria ya adhabu dhidi ya wanaomdhalilisha Rais wa nchi hiyo.
Awali sheria ya Zimbabwe ilikuwa ikiwazuia raia kukosoa na kuchunguza utendaji wa Rais Robert Mugabe au kumvunjia heshima,

Wananchi wa kenya wapinga adhabu ndogo dhidi ya wabakaji

Mamia ya wanawake wa Kenya wameandamana wakipinga adhabu ya kufyeka majani katika ua wa kituo cha polisi waliyopatiwa wabakaji wa mwanafunzi.

President Uhuru Kenyatta’s ICC trial pushed to February 2014

Nairobi, Kenya: President Uhuru Kenyatta will now stand trial at the ICC in February 2014 if Kenya’s petition to the United Nations Security Council seeking a deferral of proceedings for a year fails. On Thursday, International Criminal Court judges postponed the start of the president’s trial to February 5 following an agreement by the defence and prosecution