Monday, 10 November 2014

UTANDAWAZI WAZUNGUMZWA KAMA NGUZO KUU YA MAENDELEO.



Wanafunzi wamedhiirisha uwezo wao wa kujadili masuala mbalimbali ya kimaadili ikiwemo kupanga namna ya kuweza kupambana na changamoto za kimaadili katika

Thursday, 14 August 2014

Population Reference Bureau work shop to journalists in mwanza.

take a look of some photo's of journalists together with facilitators during workshop training...
but all in all it is a better moment for Tanzania to work hard for achievements and fight against negative attitudes on family planing(F.P)















Imani Hezron in a photo with the PRB co-ordinatot Benedict Sichwale during journalists family planing workshop in mwanza.































































journalists in a discussion during Family Planning workshop in mwanza which held at Middland Hotel.

















picture 1.Halima Sharif during proceeding when presenting topic... picture 2.Uduak Duke in a yellow colour top during presentation in the workshop.

Wednesday, 2 April 2014

cherekochereko kwa watanzania walioathirika na ugaidi katika balozi za us.















Watanzania wanne waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na wengine watano waliofariki dunia katika mlipuko huo watalipwa fidia ya Sh672 bilioni,

Panza azikosoa nchi za Ulaya kwa kutotekeleza ahadi

















Rais wa serikali ya mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati amezikosoa nchi za Ulaya kwa kushindwa kutimiza ahadi zao kwa nchi yake

2 wakamatwa na maguruneti Kenya














Watu wawili wamekamatwa baada ya kupatikana wakiwa na maguruneti mawili nyumbani mwao wakati polisi wakiendelea na msako mkali mtaani Easteligh nchini Kenya.

Tuesday, 18 February 2014

mtazame mtangazaji huyu anayefanya vizuri japo historia yake...........

Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok















Habari za hivi punde zinasema kuwa Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kuanzia mwezi desemba kwa niya ya kuwangoa.

Wachimba migodi wahofia kukamatwa














Kundi la wachimbaji migodi haramu waliookolewa kutoka mgodi uliotelekezwa nchini Afrika Kusini na maafisa wa uokoaji wanatarajiwa kufika kizimbani hivi leo.

Tuesday, 11 February 2014

vijana vyuoni mwanza wavunja ukimya















bango la vijana wa vyuo mwanza ya kuonyesha mahaba yao kwa mh.waziri kuu mstaafu Edward N.Lowasa


























Mh.waziri mkuu mstaafu Fredrik Sumaye. Akizungumza na waandishi wa habarai mara baada ya kongamano na wanavyuo














kwa hali hii kuondokana na ajali za barabarani hatuponi.

hii ni moja ya picha zinazoonyesha namna gari iiyopata ajali katika barabara kuu ya jiji la mwanza.

swala la usalama inaanza na sisi wenyewe kwani usalama wa mtu ni lazima uwe katika hatma ya wapi,nini na wapi .

Monday, 10 February 2014

angalia video ya hotuba ya jk iliokamata vichwa vya wengi.

       

''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya














Mwanamume raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya

Bosco Ntaganda kizimbani ICC














Kiongozi wa zamani wa waasi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Bosco Ntagandaa amefikishwa katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai ICC huko The Hague

Uhuru Kenyatta, William Ruto want probe into former ICC prosecutor Ocampo's claims













Kenya: The Jubilee administration will press Parliament to investigate remarks by former ICC prosecutor Luis Moreno-Ocampo that foreign envoys had wanted him to prevent Mr Uhuru Kenyatta and Mr William Ruto from

Wednesday, 5 February 2014

MAENDELEO NI UELEEWA WA JAMBO?














swala la TFD's ni swala la uelewa kwani inaonekana tangu serikali kupitia bunge lilipopitisha kumekuwepo na giza tototro juu ya matumizi ya

JE MAHAKAMA TANZANIA ITAFIKIA HATUA YA KUTOA HAKI YA KWELI?

Jaji mfawidhi kanda ya mwanza Bi.Aishaeli Sumari.akitoa hotuba katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini.










imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na

Thursday, 2 January 2014

Waziri wa Fedha afariki dunia












Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Iringa, William Mgimwa amefariki dunia jana katika Hospitali ya Kloof Medi-Clinic, Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa.Habari zilizopatikana jana kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kupitia kwa Msemaji wake, Habib Awesi zilisema Waziri Mgimwa amefariki dunia mchana...