Rais wa serikali ya mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati amezikosoa
nchi za Ulaya kwa kushindwa kutimiza ahadi zao kwa nchi yake
Monday, 10 November 2014
Thursday, 14 August 2014
Population Reference Bureau work shop to journalists in mwanza.
take a look of some photo's of journalists together with facilitators during workshop training...
but all in all it is a better moment for Tanzania to work hard for achievements and fight against negative attitudes on family planing(F.P)
Imani Hezron in a photo with the PRB co-ordinatot Benedict Sichwale during journalists family planing workshop in mwanza.
journalists in a discussion during Family Planning workshop in mwanza which held at Middland Hotel.
picture 1.Halima Sharif during proceeding when presenting topic... picture 2.Uduak Duke in a yellow colour top during presentation in the workshop.
but all in all it is a better moment for Tanzania to work hard for achievements and fight against negative attitudes on family planing(F.P)
Imani Hezron in a photo with the PRB co-ordinatot Benedict Sichwale during journalists family planing workshop in mwanza.
journalists in a discussion during Family Planning workshop in mwanza which held at Middland Hotel.
picture 1.Halima Sharif during proceeding when presenting topic... picture 2.Uduak Duke in a yellow colour top during presentation in the workshop.
Wednesday, 2 April 2014
cherekochereko kwa watanzania walioathirika na ugaidi katika balozi za us.
Watanzania wanne waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na wengine watano waliofariki dunia katika mlipuko huo watalipwa fidia ya Sh672 bilioni,
2 wakamatwa na maguruneti Kenya
Watu wawili wamekamatwa baada ya kupatikana wakiwa na
maguruneti mawili nyumbani mwao wakati polisi wakiendelea na msako
mkali mtaani Easteligh nchini Kenya.
Saturday, 15 March 2014
UCHANGIAJI DAMU NI HIARI SI LAZIMA.
KIONGOZI WA VIJANA(MABALOZI ) MTAA WA MABATINI AKICHANGIA DAMU KATIKA SIKU YA MATENDO YA HURUMA YA VIJANA YA WAADVENTISTA WA SABATO.
we umelenga kuokoa wa ngapi kwa kuchangia damu yako itakayookoa mtoto wako au ndugu yako wa karibu ambaye usingependa apoteze maisha kwa kukosa damu?
Tuesday, 18 February 2014
Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok
Habari za hivi punde zinasema kuwa Mamia ya polisi
wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za
serikali kuanzia mwezi desemba kwa niya ya kuwangoa.
Wachimba migodi wahofia kukamatwa
Kundi la wachimbaji migodi haramu waliookolewa kutoka
mgodi uliotelekezwa nchini Afrika Kusini na maafisa wa uokoaji
wanatarajiwa kufika kizimbani hivi leo.
Tuesday, 11 February 2014
vijana vyuoni mwanza wavunja ukimya
bango la vijana wa vyuo mwanza ya kuonyesha mahaba yao kwa mh.waziri kuu mstaafu Edward N.Lowasa
Mh.waziri mkuu mstaafu Fredrik Sumaye. Akizungumza na waandishi wa habarai mara baada ya kongamano na wanavyuo
kwa hali hii kuondokana na ajali za barabarani hatuponi.
hii ni moja ya picha zinazoonyesha namna gari iiyopata ajali katika barabara kuu ya jiji la mwanza.
swala la usalama inaanza na sisi wenyewe kwani usalama wa mtu ni lazima uwe katika hatma ya wapi,nini na wapi .
Monday, 10 February 2014
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
Mwanamume raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka
ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya
Bosco Ntaganda kizimbani ICC
Kiongozi wa zamani wa waasi katika Jamhuri ya
kidemokrasia ya Bosco Ntagandaa amefikishwa katika mahakama ya
kimataifa ya makosa ya jinai ICC huko The Hague
Uhuru Kenyatta, William Ruto want probe into former ICC prosecutor Ocampo's claims
Kenya: The Jubilee administration will press Parliament to investigate remarks by former ICC prosecutor Luis Moreno-Ocampo that foreign envoys had wanted him to prevent Mr Uhuru Kenyatta and Mr William Ruto from
Wednesday, 5 February 2014
MAENDELEO NI UELEEWA WA JAMBO?
swala la TFD's ni swala la uelewa kwani inaonekana tangu serikali kupitia bunge lilipopitisha kumekuwepo na giza tototro juu ya matumizi ya
JE MAHAKAMA TANZANIA ITAFIKIA HATUA YA KUTOA HAKI YA KWELI?
Jaji mfawidhi kanda ya mwanza Bi.Aishaeli Sumari.akitoa hotuba katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini.
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
imefkia wakati mahakama inatakiwa kuwa ya wazi kwa wote ili kufanya haki itendeke na ionekane inatendeka hii ni kwa mujibu wa sheria na
Thursday, 2 January 2014
Waziri wa Fedha afariki dunia
Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Iringa, William Mgimwa amefariki dunia jana katika Hospitali ya Kloof Medi-Clinic, Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa.Habari zilizopatikana jana kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kupitia kwa Msemaji wake, Habib Awesi zilisema Waziri Mgimwa amefariki dunia mchana...
Subscribe to:
Posts (Atom)