Friday, 29 November 2013

Njia mpya ya Reli Afrika Mashariki













Kenya imezindua rasmi ujenzi wa njia ya Reli itakayounganisha kanda ya Afrika Mashariki na eneo la maziwa makuu ujenzi utakaofadhiliwa na serikali ya China.Reli hiyo itaunganisha Kenya na Sudan Kusini, DR Congo na Burundi.

Waandamanaji Thailand wavamia jeshi














Mamia ya waandamanaji nchini Thailand waliingia kwa nguvu katika makao makuu ya jeshi mjini Bangkok, ikiwa ni siku ya sita tangu kuanza kwa maandamano dhidi ya serikali.
Msemaji wa jeshi amesema waandamanaji walivunja kufuli la mlango mkuu na kuingia katika eneo la makao makuu hayo ya jeshi. Baadaye waliondoka.

Tume ya Katiba yaongezewa muda kwa ajili ya mchakato












Rais Jakaya Kikwete ameiongezea tena muda Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuiwezesha kumaliza kazi yake.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu juzi usiku, ilisema Rais Kikwete ameiongezea siku 14.

Baregu asema kuhusu Zitto






















Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Profesa Mwesiga Baregu amewataka viongozi wa chama hicho kutafakari na kudhibiti madhara yanayoweza kukikumba hasa baada ya hatua yake ya hivi karibuni ya kumvua nyadhifa zote, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wenzake wawili.

Thursday, 28 November 2013

FAHAMU UGWIJI WA MWENDESHA MASHTAKA WA ICC(Fatou Bensouda)KABLA NA BAADA YA KWENDA ICC.














On 12 December 2011, Mrs. Fatou Bensouda of The Gambia was elected by consensus Prosecutor of the International Criminal Court by the Assembly of States Parties. Mrs. Bensouda was sworn in on 15 June 2012.

Shinawatra apona kung'olewa madarakani.














Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, amepona kung'olewa madarakani baada ya kushinda kura ya kutokuwa na imani naye.

Tuhuma zang’oa maofisa Maliasili












Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amesema wizara yake imewasimamisha kazi baadhi ya maofisa kutokana na kujihusisha na biashara haramu ya ujangili wa meno ya tembo.

KWA JINSII HII TUTAFIKA?












Watanzania wawili wanahojiwa na Polisi wa Afrika Kusini baada ya kukamatwa jana na kilo 55 za dawa za kulevya.Watu hao wawili wanatazamiwa kufikishwa mahakamani kesho kujibu tuhuma za kukamatwa na dawa hizo zenye thamani ya Rand75 milioni (Sh11.7 bilioni).

UTATA KUHUSU WARAKA ULIYOMFUKUZISHA ZITTO CHADEMA












Dar na Arusha. Utata mkubwa umeibuka kuhusu waraka halisi wa ‘Mkakati wa Mabadiliko 2013’ uliosababisha Zitto Kabwe kuvuliwa wadhifa wake wa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika Novemba 20 - 22, mwaka huu.

Wednesday, 27 November 2013

Kiongozi wa wafanya mapinduzi Mali atiwa mbaroni .

















Jenerali Amadou Haya Sanogo kiongozi wa wafanya mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Machi 2012 nchini Mali, leo ametiwa mbaroni.

Berlusconi ajadiliwa kutimuliwa














Bunge la seneti nchini Italia linajadili hoja iwapo Waziri Mkuu mstaafu wa Italia Silvio Berlusconi atimuliwe au la kutokana na kupatikana na hatia ya kukwepa kulipa kodi.
Wachambuzi wanasema hoja ya kumtimua inatarajiwa

ICC yamtaka Kenyatta kuwepo mahakamani.














Mahakama ya Kimataifa ya kushughulikia kesi za uhalifu wa kivita, ICC imetengua uamuzi wake wa awali uliomruhusu Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutohudhuria baadhi ya vikao vya kesi ya uhalifu wa kivita inayomkabili.

Tuesday, 26 November 2013

Hali yatulia Jimbo la Turkana, Kenya 26 Novemba, 2013 - Saa 11:46 GMT














Polisi nchini Kenya wamesema kua hali ya utulivu imerejea katika kijiji kilichokuwa kimezingirwa na wavamizi kutoka jamii hasimu katika jimbo la Turkana Kaskazini Magharibi mwa Kenya.
Washambulizi walivamia kijiji cha

Jaji Mkuu aagiza kesi ya Mramba, wenzake iharakishwe
















Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, ameagiza kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara

Zitto.............


















Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe amejiweka katika mazingira

Kairuki alaani ukatili wa kijinsia.















Asema endapo wananchi watashirikiana na Serikali vitendo hivyo vinaweza kutokomezwa nchini

Wednesday, 13 November 2013

ICC: Duale denies state officials ‘fixed’ Ruto


















NAIROBI, KENYA: Majority Leader Adan Duale has denied that powerful people in the administration of

JK akataa zawadi ya pande la dhahabu


















Geita.Rais Jakaya Kikwete jana aligoma kupokea zawadi ya dhahabu kutoka

Dk Mvungi afariki dunia


















Dar es Salaam.Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi (61) amefariki dunia katika Hospitali ya

Wednesday, 6 November 2013

CIA link in Westgate terrorist attack



From Left: Hussein Hassan Mustafa, Ibrahim Adan Dheq, Liban Abdulahi and Mohammed Ahmed. The four were on November 4th charged over the Westgate shopping mall terror attack in which at least 70 people were killed and over 200 others injured on September 21. 





Western intelligence agencies at one point worked with a man suspected to have masterminded the Westgate mall terrorist attack in Nairobi, a former informant for both the CIA and the Danish intelligence service has claimed

MVUA KUBWA YAZOROTESHA USAFIRI JIJINI MWANZA.Tarehe 06/11/2013

















moja ya picha zinazoonyesha madhara ya mvua katika eneo la mabatini.


















Leo jijini mwanza mvua kubwa imevuruga sekta ya usafirishaji ambapo watu wengi wameshindwa kufika katika maeneo yao ya kazi kwa wakati

Tanzania absent at launch of region’s single visa

NAIROBI, KENYA: Tanzania was not represented in a single visa deal that was jointly announced on Tuesday during the ongoing World Tourism Market meeting in United Kingdom
.Rwanda, Kenya, and Uganda were repesented during the
deal which is set to come in force by January next year. Through the single travel document, member country states will adopt a joint Visa to facilitate free movement of tourist and citizens alike.
“Other EAC members will join us along the way since we have not locked any one out, said Kenya’s Cabinet Secretary for East African Affairs, Commerce and Tourism Mrs. Phylis Kandie while responding to the press questions on the absence of Tanzania in the deal.
Tanzania is a competing country in Tourism and other economic pillars in the region. The country’s absence in key EAC meetings bringing together heads of states continues to raise eyebrows as per the regional intergration.
Tanzania’s minister for EAC Affairs, Samuel Sitta, recently told a charged Parliament in Dodoma that Dar es Salaam would not wait for a “divorce certificate” from Kenya, Rwanda and Uganda, but would “shoot before we are shot”.

The minister spoke on the same day Presidents Uhuru, Kagame, Museveni and Kiir signed a host of protocols and agreements in Kigali, including free movement of goods and persons, infrastructural development and transformation into a Single Customs Union.
The pacts were signed on the sidelines of the three-day “Transform Africa Summit” to which Tanzania and Burundi, both EAC member states were not invited.
Speaking after announcing the launch of the joint visa, Kenya’s Cabinet Secretary for East African Affairs, Commerce and Tourism Mrs. Phylis Kandie, Uganda’s Tourism and Wildlife Minister Ms Agnes Egunyo and Rwanda’s High Commissioner to UK Ambassador William Nkurunziza said deal was a major boost to tourism.
“We have been in discussion over this matter for the last six months and we are proud  to announce that we finally have a joint visa that has made the three countries borderless. This is an opportunity for us to increase tourist numbers as we will jointly offer diversified tourism products,” Says Kandie.
Tourism products from the three countries, pointed Kandie  are varied and with different tastes and noted that the single joint visa will now enrich diversity at the same time increasing the value of the product.
Rwanda High commissioner noted that the single joint visa was cost effective and will boost the strategy of repositioning tourism products in the region.

Sumaye amsema Lowassa hadharani

Dar es Salaam.Vita ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 imeingia katika sura mpya baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kumlalamikia mrithi wake katika wadhifa huo, Edward Lowassa akimtuhumu kumfanyia mbinu chafu

JK kulihutubia Bunge kesho

Dodoma na Dar.Rais Jakaya Kikwete, kesho anatarajiwa kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Habari zilizopatikana Mjini Dodoma jana na kuthibitishwa na uongozi wa Bunge pamoja na Ikulu, Dar es Salaam zinasema atahutubia mchana

Friday, 1 November 2013

ZIMBABWE YAFUTA SHERIA KALI KWA WAKOSOAJI WA RAIS MUGABE

http://kiswahili.irib.ir/media/k2/items/cache/ea5f2786e7ba81c649efca9b3c61aadf_XL.jpg
Mahakama ya Katiba ya Zimbabwe imefuta sheria ya adhabu dhidi ya wanaomdhalilisha Rais wa nchi hiyo.
Awali sheria ya Zimbabwe ilikuwa ikiwazuia raia kukosoa na kuchunguza utendaji wa Rais Robert Mugabe au kumvunjia heshima,

Wananchi wa kenya wapinga adhabu ndogo dhidi ya wabakaji

Mamia ya wanawake wa Kenya wameandamana wakipinga adhabu ya kufyeka majani katika ua wa kituo cha polisi waliyopatiwa wabakaji wa mwanafunzi.

President Uhuru Kenyatta’s ICC trial pushed to February 2014

Nairobi, Kenya: President Uhuru Kenyatta will now stand trial at the ICC in February 2014 if Kenya’s petition to the United Nations Security Council seeking a deferral of proceedings for a year fails. On Thursday, International Criminal Court judges postponed the start of the president’s trial to February 5 following an agreement by the defence and prosecution